Bw.
 Badru Juma Rajabu akielezea historia ya siku ya vijana ilipoanzia na 
kusisitiza kuwa vijana wanatakiwa kutambulika na wasisahau kuchukua 
fursa pale wanapowezeshwa 
Oscar
 Kimario muwezeshaji kutoka Restless Development akielezea baadhi ya 
ripoti juu ya vijana na kuwasihi vijana kuwa ndio watakuwa mstari wa 
mbele katika maendeleo endelevu hivyo wanapaswa kujituma na kufanya kazi
 kwa bidii
                                         Vijana wakiendelea kufuatilia mdahalo huo kwa makini 
Mwakilishi
 kutoka Shirika la Kazi la Umoja wa Mataifa ILO Nancy Lazaro 
akizungumzia ajira zenye staha ,alisema kuwa vijana wengi wameajiriwa 
lakini katika ajira zisizo na staha na kusisitiza ifike kipindi sasa 
vijana waajiliwe na kazi zenye Staha.
Mkurugenzi
 Mtendaji wa Msichana Initiatives Rebeca Gyumi akijibu maswali 
mbalimbali ambayo waliuliza vijana waliofika katika kongamano hilo na 
kusema kwamba sio kweli kwamba wanafunzi waliomaliza elimu ya vyuo ni 
vilaza 
Vijana wakiendelea kufuatilia wajibu maswali wakijibu yale waliyo yauliza 
Mwanafunzi
 wa Shule ya Sekondari ya St.Josephs Veronica Shayo kidato cha tano 
akisisitiza vijana kuwa na tabia za kuweka akiba kwa kile wanachopata 
ili kije kuwasaidia pindi watakapo kuwa wakubwa.
Muwezeshaji
 wakati wa kongamano hilo la vijana ambalo kauli mbiu yake inasema 
Sepesha Umasikini kwa Michongo Endelevu na yenye tija Bw. Lawrence 
Ambokile akiendelea kutoa mwongozo 
Noreen
 Toroka akijibu baadhi ya maswali lakini pamoja na hayo amewasisitiza 
vijana kuto kutumia kipato wanacho kipata bila tija na wawe na utaratibu
 wa kuhifadhi kwa ajili ya maendeleo baadae, pia aliongeza kuwa vijana 
wasilazie damu fursa mbalimbali zinazotolewa kwa ajili yao
Baadhi ya vijana kutoka Restless Development na wanafunzi pamoja na wadau wakendelea kufuatilia mdahalo
Mwanzilishi wa Malkia Investment Bi. Jenipher Shigoli akichangia  jambo katika mdahalo huo 











Hakuna maoni:
Chapisha Maoni