Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa  akiwa katika maungumzo na Rais Uhuru Kenyatta wa
 Kenya (kulia), Rais wa Msumbiji,  Filipe Nyusi (wapili kulia) na 
Mwenyekiti  wa Umoja wa Afrika (AU), Madame Nkosazana Dlamini- Zuma 
kabla ya kuanza kwa Mkutano wa African Peer  Review Mechanism Forum 
(APRM) kwenye ukumbi wa hoteli ya Intercontinental jijini Nairobi Agosti
 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni  
kabla ya kuanza kwa Mkutano wa African Peer  Review Mechanism Forum 
(APRM)kwenye ukumbi wa hoteli ya Intercontinental jijini Nairobi Agosti 
26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa na ujumbe wake wakishiriki katika Mkutano wa 
African Peer  Review Mechanism Forum (APRM)kwenye ukumbi wa hoteli ya 
Intercontinental jijini Nairobi Agosti 26, 2016. (Picha na Ofisi ya 
Waziri Mkuu) 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni