Mwenyekiti
 wa CCM, Rais John Magufuli wakiwasalimia wana CCM na wananchi 
waliokusanyika kwenye Ofisi ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dar es salaam 
kumlaki Agosti 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Katibu
 Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana  akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais 
John Magufuli kuzungumza na Wana CCM na wananchi  wakati alipokaribishwa
 kwenye Ofisi ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dar es salam Agosti 12, 2016.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Mjumbe
 wa kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia Wana 
CCM na Wananchi   wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli 
alipokaribishwa kwenye Ofisi ndogo ya CCM iliyopo Lumumba jijini Dar es 
salaam Agosti 12, 2016.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Naibu
 Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akiwasalimia wananchi  na Wana  CCM 
waliokusanyika kwenye Ofisi ndogo ya CCM iliyopo Lumumba jijini Dar es 
salaam kumlaki Mwenyekiti wao, Rais, John Magufuli wakati alipowasili 
Ofisini hapo na Agost 12, 2016 . (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Mwenyekiti
 wa CCM, Rais John Magufuli akisalimiana na Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM,
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege 
wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitoka Mwanza, Agost 12, 2016. 
Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt, Tlia Ackson na wapili kushoto ni 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. Wapili kulia ni Mwenyekiti wa 
CCM wa mkoa wa Dar es salaam, Ramadhani Madabida. (Picha na Ofisi ya 
Waziri Mkuu)
 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akisalimiana na Mjumbe wa 
kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipowasili 
kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitoka 
Mwanza, Agost 12, 2016.  Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt, Tlia 
Ackson na wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.   
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Katibu
 Mwenezi wa CCM, Nape Nauye akizungumza kwenye Ofisi  ndogo ya CCM 
iliyopo Lumumba jijini Dar es salaam katika mkusanyiko wa kumkaribisha 
Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli   Agosti 12, 2016. (Picha na Ofisi
 ya Waziri Mkuu) 
 Mbunge
 wa Ilala, Azan Zungu akizungumza wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais John 
Magufuli alipokaribishwa  kwenye Ofisi ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dar 
es salaa, Agosti 12, 2016. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu) 
 Mwenyekiti
 wa CCM, Rais John Magufuli akiteta na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman 
Kinana wakati alipokaribishwa kwenye Ofisi ndogo ya CCm jijini Dar es 
salaam na kuzungumza na Wana CCM na wananchi Agosti 12, 2016. (Picha na 
Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni