JPM AWASILI DAR NA KUZUNGUMZA OFISI NDOGO YA CCM LUMUMBA

Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli wakiwasalimia wana CCM na wananchi waliokusanyika kwenye Ofisi ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dar es salaam kumlaki Agosti 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli kuzungumza na Wana CCM na wananchi wakati alipokaribishwa kwenye Ofisi ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dar es salam Agosti 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia Wana CCM na Wananchi wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli alipokaribishwa kwenye Ofisi ndogo ya CCM iliyopo Lumumba jijini Dar es salaam Agosti 12, 2016.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akiwasalimia wananchi ​ na Wana CCM waliokusanyika kwenye Ofisi ndogo ya CCM iliyopo Lumumba jijini Dar es salaam kumlaki Mwenyekiti wao, Rais, John Magufuli wakati alipowasili Ofisini hapo na Agost 12, 2016 . (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akisalimiana na Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitoka Mwanza, Agost 12, 2016. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt, Tlia Ackson na wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. Wapili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Dar es salaam, Ramadhani Madabida. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akisalimiana na Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitoka Mwanza, Agost 12, 2016.  Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt, Tlia Ackson na wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.   (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nauye akizungumza kwenye Ofisi ndogo ya CCM iliyopo Lumumba jijini Dar es salaam katika mkusanyiko wa kumkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli Agosti 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge wa Ilala, Azan Zungu akizungumza wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli alipokaribishwa kwenye Ofisi ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dar es salaa, Agosti 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akiteta na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati alipokaribishwa kwenye Ofisi ndogo ya CCm jijini Dar es salaam na kuzungumza na Wana CCM na wananchi Agosti 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni