Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na Prof.Saber Waheeb,Kiongozi wa Ujumbe wa Madaktari bingwa
 kutoka  Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini
 Misri,walipofika ikulu mjini Zanzibar leo
Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akizungumza na Ujumbe wa Madaktari bingwa kutoka  Hospitali ya Chuo 
Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini Misri,ukiongozwa na 
Prof.Saber Waheeb (wa pili kulia) leo ulipofika ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akifuatana na Prof.Saber Waheeb,Kiongozi wa Ujumbe wa Madaktari bingwa 
kutoka  Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini 
Misri,baada ya mazungumzo walipofika ikulu mjini Zanzibar leo,[Picha na 
Ikulu.] 20/08/2016.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni