Mkali
 wa singeli ManFongo na Shilole wakilivamia jukwaa la Tigo Fiesta 2016 
katika tamasha hilo kubwa liliofanyika usiku wa  jana jijini Mwanza na 
kukutanisha wasanii nguli katika muziki wa kizazi kipya na Msanii wa 
kimataifa  toka Nijeria Wizkid .
 
Umati
 wa wakazi wa Jiji la Mwanza wakitoa shangwe wakati burudani mbalimbali 
zikiendelea katika Tamasha la Tigo Fiesta 2016  viwanja vya CCM Kirumba 
hapo usiku wa jana.
 
Alikiba
 alikuwa kivutio kwa mashabiki wengi mara baada ya kufanya suprize na 
kutoa burudani ya kukata na shoka huku mashabiki zake wakifuatisha 
nyimbo zake moja baada ya nyingine katika Tamasha la Tigo Fiesta 2016 
katika viwanja vya Kirumba Jijini Mwanza.
 
Benpol akilishambulia jukwaa la Tigo Fiesta 2016 lilifnayika jana katika viwanja vya CCM kirumba Jijini Mwanza.
 
Msanii wa kizazi kipya Dayna Nyange akitumbuiza umati uliohudhuria Tamasha la Tigo Fiesta 2016 jijini Mwanza hapo usiku wa jana.
Mkali wa Singeli anayetamba na nyimbo yake “HAINAGA USHEMEJi”  akitumbuiza jukwaa la Tigo Fiesta 2016 Jijini Mwanza.
 
Wasanii
 toka kikundi cha TipTop connections Tundaman na Madee Ali wakitumbuiza 
mashabiki katika jukwaa la Tigo Fiesta 2016  katika viwanja vya CCM 
kirumba hapo usiku wa jana .
 
Weusi wakilishambulia vilivyo  jukwaaa la Tigo Fiesta 2016 Jijini Mwanza hapo usiku wa jana
 
Msanii
 wa  kimataifa toka Nigeria Ayodeji Balogun(Wizkid) akitumbuiza katika 
tamasha la Tigo Fiesta 2016 liliofanyika hapo jana Jijini Mwanza  katika
 viwanja vya CCM Kirumba
 
Baadhi
 ya waandishi wa Habari wakichukua matukio katika tamasha la Tigo Fiesta
 2016 wakazi msanii wa kimataifa toka Naijeria Wizkid akitumbuiza katika
 viwanja vya CCM kirumba usiku wa jana .
 
Baadhi
 ya wakazi wa jiji la Mwanza wakishangilia wakati burudani mbalimbali 
zikitolewa na wasanii waliotikisa jukwaaa la Tigo Fiesta 2016 hapo usiku
 wa jana katika viwanja vya CCM Kirumba Jijini Mwanza 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni