Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa Ofisi yake kuhusu 
utaratibu wa kuhamia Dodoma kwenye ukumbi wa Ikulu jijini Dar es salaam 
Agost 17, 29016.
 Baadhi
 ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim 
Majaliwa wakati alipozungumza nao kuhusu utaratibu wa kuhamia Dodoma 
kwenye ukumbi wa Ikulu jijini Dar es salaam, Agost 17, 2016
 Naibu
 Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Vijana), Anthony Mavunde 
akizungumza katika Mkutano wa  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na 
watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu  Agost 17, 2016  kuhusu Utaratibu wa 
kuhamia Dodoma. 
  
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa 
Taasisi  zilizoko chini ya Ofisi yake baada ya kuzungumza na watumishi 
wa Ofisi yake kwenye ukumbi wa Ikulu jijini Dar es salaam, Agost 17, 
2016. Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,
 Kazi, Vijana  Ajira na Walemavu, Jenista  Mhagama , Wapili kulia kwake 
ni Naibu Waziri  Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira  na Vijana, Anthony 
Mavunde na kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, 
Dkt. Abdallah Possi.
  
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya 
watumishi wa Ofisi ya Waziri  Mkuu baada ya kuzungumza nao  kwenye 
ukumbi wa Ikulu jijini Dar es salaam Agost 17, 2016. Kushoto kwake ni 
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge, Kazi, Vijana  Ajira na 
Walemavu, Jenista Mhagama, Wapili kulia kwake ni Naibu Waziri  Ofisi ya 
Waziri Mkuu, Kazi, Ajira  na Vijana, Anthony Mavunde na kushoto kwake ni
 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Abdallah Possi.
(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni