RAIS WA ZAMANI WA FIFA, JOAO HAVELANGE AFARIKI DUNIA

Joao Havelange
Havelange ( kulia) akiwa na Sepp Blatter ( kushoto) hii ilikuwa mwaka 1998.

Aliyekuwa Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu ulimwenguni ( FIFA ) Joao Havelange amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 100 mjini Rio de Janeiro, Brazil.

Joao Havelange ambaye ameiongoza Fifa toka mwaka 1974 - 1998 amefariki akiwa katika hospitali ya Samaritano mjini Rio.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni