WAFANYAKAZI ACACIA BUZWAGI WACHANGIA DAMU

Hapa ni katika mgodi wa dhahabu Acacia Buzwagi wilayani Kahama mkoani Shinyanga.Kushoto ni Meneja Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa North Mara,Sam Roesler na Mkuu wa Kitengo cha Utumishi Kampuni ya Acacia ofisi za London nchini Uingereza (kulia) wakichangia damu kwa ajili ya hospitali ya Mji wa Kahama-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog 
  Meneja Mkuu wa Mgodi wa Acacia Buzwagi Asa Mwaipopo akitoa damu.Kulia ni mtaalamu wa afya Rose Manyama Meneja Mkuu wa Mgodi wa Acacia Buzwagi Asa Mwaipopo akitoa damu. Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Acacia ofisi za London, nchini Uingereza Mark Morcombe akichangia damu kwa ajili ya kuokoa maisha ya Watanzania.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni