Pichani, Waziri Mkuu akipokea 
mchango wa Shilingi 2,000,000 kutoka kwa Askofu wa Kanisa la Anglikan  
Dayosisi ya Masasi, Dkt. James Almas   mjini Luangwa  Julai 14, 2016. 
Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi. Wengine  ni 
viongozi wa Kanisa la Anglican Dayosisi ya Masasi, kutoka kushoto ni 
Katibu wa Sinodi ya Masasi, Janeth Lemula,  Padri Kenneth Mathayo,  
Joyce Liundi, Canon John Burian  na   Benjamin Jaali.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni