MASHABIKI WADAI CHUCHU ZA SERENA WILLIAMS ZINAWAPOTEZA KUFUATILIA MCHEZO

Akiwa ameshinda mataji ya Grand Slam 21, huku pia akiwa ni mchezaji wa kike wa tenesi anayelipwa bei mbaya duniani, Serena Williams amegonga tena vichwa vya habari.

Safari hii ni baada ya mashabiki wa tenesi kudai kuwa chuchu zake zimekuwa zikiwachanganya na kuwafanya washinde kufuatilia vyema mchezo anapovaa nguo nyeupe za kampuni ya Nike.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni