Waziri
 Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary wakimtazama Lorand Leonard Kambangu 
 akiendesha baiskeli ya magurudumu matatu aliyopewa na Mke wa Waziri 
Mkuu katika mkutano wa hadahra uliohutubiwa na Waziri Mkuu  kwenye 
kijiji cha Nanganga wilayani  Luangwa  Julai 14, 2016. Kushoto ni Mkuu 
wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.  
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni