u1 u2Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary wakimtazama Lorand Leonard Kambangu  akiendesha baiskeli ya magurudumu matatu aliyopewa na Mke wa Waziri Mkuu katika mkutano wa hadahra uliohutubiwa na Waziri Mkuu  kwenye kijiji cha Nanganga wilayani  Luangwa  Julai 14, 2016. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni