
 Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Huduma kwa Wateja wa 
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Sophia Mgonja (wa tatu 
kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa 
shirika hilo katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Dar es 
Salaam 2016 kwenye viwanja vya Biashara vya Mwalimu Nyerere  Barabara ya
 Kilwa  Dar es Salaam leo.
 Mmoja
 wa wafanyakazi wa kampuni ya kuendeleza jotoardhi Tanzania(TGDC) wa 
pili kushoto akitoa maelezo kwa Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji 
Usambazaji na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), 
Mhandisi Sophia Mgonja.

 Kaimu Meneja Uhusiano Tanesco, Leila Muhaji (kushoto), akiwa na  Kaimu 
Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Huduma kwa Wateja wa Shirika la 
Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Sophia Mgonja walipotembelea banda la
 TGDC.

 Kaimu
 Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Huduma kwa Wateja wa Shirika la
 Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Sophia Mgonja (kushoto), 
akimsikiliza mteja aliyetembelea banda hilo.

 Mteja akisikilizwa.

 Wateja
 wakipata maelekezo kutoka kwa mfanyakazi wa Tanesco (kulia), jinsi ya 
kuunganishiwa umeme katika chumba kimoja hadi viwili.

Mtaalamu wa Tanesco akiwaonesha wananchi jinsi ya kuunganisha umeme katika nyumba za makazi

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni