Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(kushoto) akimuapisha Bw.Said Bakar Jecha kuwa Kamishna wa Tume ya 
Maadili ya Viongozi wa Umma,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini 
Zanzibar leo
Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(kushoto) akimuapisha Bibi Septuu Mohamed Nassor kuwa Kamishna wa Tume 
ya Maadili ya Viongozi wa Umma,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini 
Zanzibar
Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(kushoto) akimuapisha Dk.Juma Yakout Juma kuwa Naibu Katibu Msaidizi wa 
Baraza la Mapinduzi (Sera,Ufuatiliaji na Tathmini) katika  hafla 
iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(kushoto) akimuapisha Ndg.Tahir Mohamed Khamis Abdulla kuwa Naibu Katibu
 Mkuu Wizara ya Ardhi,Maji,Nishati na Mazingira  katika  hafla 
iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
Waziri wa
 Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji 
Ussi (Gavu) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba Sheria,utumishi wa 
Umma na Utawala Bora Mhe,Haroun Ali Suleiman wakiwa ni miongoni mwa 
Viongozi waliohudhuria katika kuapishwa Viongozi mbali mbali leo Ikulu 
Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.] 25/07/2016.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni