Waziri 
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati akikagua ujenzi wa 
kiwanda cha vigae cha Goodwill Ceramic kwenye kijiji cha Mkiu wilayani 
Mkuranga Julai 13, 2016,Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi 
Evarest Ndikilo na kulia ni Balozi wa China nchini, Dkt Lu Youqing.
Waziri 
Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya shilingi milioni 20 kutoka kwa 
Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing (wapili kulia) kwa ajili ya 
madawati wakati alipokagua ujenzi wa kiwanda cha vigage cha Goodwill 
Ceramic kinachojengwa katika kijiji cha Mkiu wilayani Mkuranga Julai 13,
 2016. Kushoto ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage, 
Kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandishi Evarest 
Ndikilo na kulia ni Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega.
Waziri 
Mkuu, Kasim Majaliwa akipongezana na Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega 
baada ya kupokea hundi ya shilingi milioni 20 kutoka kwa Balozi wa China
 Nchini, Dkt. Lu Younqing kwa ajili ya madawati baada ya kukagua ujenzi 
wa kiwanda cha vigae cha Goodwill Ceramic kilichopo katika kijiji cha 
Mkiu wilayani Mkuranga Julai 13, 2016.
Waziri 
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumzana Balozi wa China Nchini , Dkt. Lu 
Youqing (wapili kulia) , Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage 
(kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo (kushoto) 
baada kukagua ujenzi wa kiwanda cha vigae cha Goodwill na kuzungumza na 
wananchi kwenye kijiji cha Mkiu wilayani Mkuranga Julai 13, 2016.
Waziri 
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa 
Lindi, Ali Mtopa baada kuwa kuwasili mjini Lindi Julai 13, 2016 kwa 
ziara ya kikazi. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.
Waziri 
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mama Salima Kikwete, mke wa Rais 
Mstaafu wa Awamu ya Nne baada ya kuwasili mjini Lindi kwa ziara ya 
kikazi Julai 13, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni