Mkuu
 wa wilaya ya Moshi Kipi Warioba akiongozana na kundi la wapanda mlima 
Kilimanjaro kutoka kampuni ya Mgodi ya Geita Gold Mining (GGM) 
waliopanda kwa lengo la kuchangisha fedha za kusaidia taasisi mbalimbali
 zinazo shughulika na mapambano dhidi ya Ukimwi. 
Makamu
 wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mining (GGM)  ,Simon Shayo akizungumza
 wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya kundi la wapanda mlima wakiwemo 
wafanyakazi wa mgodi huo waliopanda kwa leongo la kuchangisha fedha  za 
kusaidia taasisi mbalimbali zinazo shughulika na mapambano dhidi ya 
Ukimwi. 
 Kiongozi
 wa kundi la wafanyakazi wa kampuuni ya Mgodi ya Geita Gold Mining 
,Kelvin Yasiwa akizungumza kwa niaba ya wenzake mara baada ya kuwasili 
wakitokea katika kilele cha Uhuru ,Mlima  Kilimanjaro.  
Balozi
 wa Tume ya kudhibiti Ukimwi nchini (TACAIDS) Msanii Mrisho Mpoto 
akizungumza mara baada ya kurejea salama kutoka katika kilele cha Mlima 
Kilimanjaro.  
 Kaimu
 Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Kipi Warioba akikabidhi cheti kwa mtoto 
Lucy Mashauri(15)baada ya kufanikiwa kufika katika kilele cha Mlima 
Kilimanjaro. 
 Kaimu
 Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Kipi Warioba akikabidhi cheti kwa mtoto 
Jacob Musa (16) baada ya kufanikiwa kufika katika kilele cha Mlima 
Kilimanjaro.  
Balozi
 wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini (TACAIDS) Msanii Mrisho Mpoto 
akifurahia baada ya kukabidhiwa cheti kwa kufanikiwa kufika katika moja 
ya vilele vya Mlima Kilimanjaro,kilele cha Stela . 
Kaimu
 Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Mkuu wa wilaya ya Moshi,Kipi Warioba 
akikabidhi vyeti kwa washiriki wengine wa changamoto hiyo ya kupanda 
Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kuchangisha fedha za kusaidia taasisi 
mbalimbali zinazojishughulisha na mapambano dhidi ya Ukimwi.  
Kaimu
 Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Mkuu wa wilaya ya Moshi,Kipi Warioba 
aliyekua mgeni rasmi katika hafla hiyo Kipi Warioba akizungumza mara 
baada ya kuwapokea wapandaji wa Mlima Kilimanjaro kutoka kampuni ya 
Mgodi ya Geita Gold Mining.  
Washiriki
 wa changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa lengoo la kuchangisha 
fedha kwa ajili ya kusaidia taasisi mablimbali zinazojishughulisha na 
mapambano dhidi ya Ukimwi wakifungua "champagne" kuonesha furaha mara 
baada ya kurejea salama kutoka katika kilele cha Mlima Kilimannjaro. 
Washiriki
 wa changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa lengo la kuchangisha 
fedha kwa ajili ya kusaidia taasisi mbalimbali zinazojihusisha na 
mapambano dhidi ya Ukimwi wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi 
wa hafla ya mapokezi yao,Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Kipi Warioba. 
Watoto
 Yatima ambao ndio pekee walioshiriki katika changamoto ya kupanda Mlima
 Kilimanjaro na kufika Kileleni wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni 
rasmi,Mkuu wa wilaya ya Moshi,Kipi Warioba pamoja na viongozi wengine 
akiwemo Makamu wa Raisi wa kampuni ya Mgodi wa Geita Gold Mining,(GGM).  
Makamu
 wa Rais wa Kampuni ya Mgodi wa Geita Gold Mining (GGM) Simon Shayo 
akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya mapokezi ya 
washiriki wa changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa lengo la 
kuchangisha fedha kwa ajili ya mapambano dhidi ya Ukimwi. 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni