MTAFITI WA SOKWE DKTA JANE GOODAL ATEMBELEA HIFADHI YA GOMBE MKOANI KIGOMA
posted on
Mtafiti
Dkt Jane Goodall akichukua taswira mara baada ya kuona kundi la
Wanahabari katika msitu wa Hifadhi ya Taifa ya Gombe wakimngojea.
Mtalii
raia wa Colombia ,Sandra Renasco akihamaki baada ya kuonana ana kwa ana
na Dkt Jane Goodall ,mtu ambaye anamtaja kama Role Model wake.
Mtafiti
wa Kimataifa wa Sokwe ,Dt Jane Goodall akisalimiana na Meneja
Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete
baada ya kukutana katika Hifadhi ya Taifa ya Gombe. katikati ni Mhifadhi
Mkuu wa Hifadhi ya taifa ya Gombe ,Dkt Noelia Muyonga na kulia ni
mwanahabari Mkinga Mkinga.
Mtafiti
,Dkt Jane Goodall akimueleza jambo Meneja Mawasiliano wa Shirika la
Hifadhi za Taifa Pascal Shelutete kabla ya kuanza mahojiano na waandishi
wa habari.kushoto mwa Dkt Goodall ni Daktari wa mifugo Dkt ,Anthony
Collins .
Meneja
Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa ,(TANAPA) Pascal Shelutete
akifanya utamburisho wa Wanahabari waliofika katika Hifadhi ya Taifa ya
Gombe kwa ajili ya mahojiano na Dkt Jane
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni