POLISI WANNE WAUWAWA KATIKA MAANDAMANO JIJINI DALLAS

Mdunguaji amewapiga risasi na kuwauwa polisi wanne na kujeruhi wengine saba huko Dallas, Marekani katika maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi yanayofanywa na polisi.

Milio ya risasi ilisikika wakati waandamanaji walipokuwa wakiandamana katika mji huo. Mtu mmoja anashikiliwa na polisi na mwingine mmoja aliyeonekana na bunduki amejisalimisha.
                                                           Polisi wakiwa kazini wakimsaka mdunguaji 
Hali ilikuwa inatisha kiasi ya watu kujificha kwenye magari wakati polisi wakihaha kumsaka mdunguaji
Huyu aliamua kundamana na bunduki yake, na sasa amejisalimisha polisi kwa mahojiano zaidi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni