Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na baadhi ya Wazee ambao wametimiza miaka 70 ambao 
wanapokea mafao maalum ya uzeeni yaliyoidhinishwa na Rais wakati 
alipofika katika Viwanja vya Wazee Sebleni kwa ajili ya kumshukuru na 
Kumpongeza leo.
Wazee
 waliostaaafu katika Idara mbali mbaliu za Serikali na ambao wametimiza 
Umri wa miaka 70 wakiwa katika viwanja vya Makaazi ya Wazee Sebleni 
Mjini Unguja wakati wa Shukurani maalum za Wazee hao na kumpongeza Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
kwa kuwawezesha kupata mafao katika umri huo,hafla iliyofanyika leo.
Wazee
 wa Wilaya ya Kusini Unguja nao walihudhuria katika hafla ya kumponheza 
na kumshukuru Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi 
Dk.Ali Mohamed Shein kwa kuwawezesha kupata mafao ya kufikia umri wa 
miaka 70 katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya makaazi ya Wazee 
Sebleni Mjini Unguja.
Msoma
 utenzi Bw.Mohamed Abdalla Zungu kutoka Kijiji cha Uroa Wilaya ya Kati 
Mkoa wa Kusini Unguja akighani Utenzi wake wakati wa hafla ya Shukrani 
na Pongezi maalum kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein zilizotolewa leo na Wazee wanaopokea 
pencheni kwa kutimiza umri wa miaka 70 katika Viwanja vya makaazi ya 
Wazee Sebleni Mjini Unguja.
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na Mzee Bi Mtumwa Ali Khamis ambae alishiriki katika mchezo
 wa kuigiza wakati wa Shukrani na Pongezi maalum kwa Rais wa Zanzibar 
zilizotolewa na Wazee waliotimiza umri wa miaka 70 katika hafla 
iliyofanyika leo viwanja vya makaazi ya Wazee Sebleni Mjini Unguja.
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
alipokuwa akitoa hutuba yake kwa wazee waliotimiza umri wa miaka 70 
katika hafla maalum ya ilyofanyika kumpongeza yeye Rais iliyofanywa na 
Wazee hao katiika Viwanja vya makaazi ya Wazee Sebleni Mjini Unguja leo.
 Picha na Ikulu, Zanzibar.






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni