ANGONET yahamasisha lishe kutokomeza udumavu na Utapiamlo


IMG_0422
Katibu Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu  jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto)  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo. Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay mwanachama wa shirika hilo.(Picha na Mahmoud Ahmad).
IMG_0437
Mratibu wa Angonet ,Petro Ahham akifafanua juu ya Mkakati wa Lishe wa taifa wa July  2011/12 hadi Juni 2015/16 kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) katika mkutano na waandishi juu ya hali ya lishe nchini na namna ya kuhamasisha lishe ili kuondokana na udumavu na utapiamlo, Kushoto ni Katibu Mtendaji wa shirika lisilokuwa la kiserikali (ANGONET), Petter Bayo.(Picha na Mahmoud Ahmad).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni