| Mtoto mkazi wa Rupindu wilaya ya Ludewa mkoani Njombe akicheza kando ya ziwa nyasa wakati mawimbi makali yakipiga | 
| Watoto wakifurahia kuchafuka kwa ziwa nyasa kwa kucheza katika mawimbi | 
| Mtoto mkazi wa Rupingu akitoka kuchota maji katika kina kirefu cha ziwa Nyasa baada ya ziwa kuchafuka na hivyo maji ya pembeni kuwa na uchafu mwingi | 
| Wakazi wa Rupingu Ludewa wakitazama abiria wakishuka katika boti baada ya ziwa kuchafuka | 
| Boti akipita katika mawimbi makali | 
| Bw Luciana Mbosa akitazama ziwa nyasa baada ya kuchafuka | 
| Wasafiri wakishuka katika boti kupanda mtumbwi | 
| Wasafiri wakishuka katika boti kuhairisha safari baada ya ziwa nyasa kuchafuka (picha na MatukiodaimaBlog) | 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni