TAZAMA ZIWA NYASA LILIVYOCHAFUKA KWA MAWIMBI ,ZIWA HILI NDILO LENYE MAWIMBI MAKALI ZAIDI

Mtoto  mkazi wa Rupindu  wilaya ya  Ludewa mkoani Njombe akicheza kando ya  ziwa  nyasa  wakati mawimbi makali yakipiga
Watoto  wakifurahia   kuchafuka kwa  ziwa nyasa kwa  kucheza katika mawimbi
Mtoto mkazi wa  Rupingu  akitoka  kuchota maji  katika  kina  kirefu cha ziwa Nyasa baada ya ziwa  kuchafuka na hivyo maji ya pembeni  kuwa na uchafu mwingi
Wakazi wa Rupingu  Ludewa  wakitazama abiria  wakishuka katika  boti baada ya  ziwa kuchafuka
Boti  akipita katika mawimbi makali
Bw  Luciana  Mbosa  akitazama ziwa nyasa  baada ya  kuchafuka
Wasafiri  wakishuka katika  boti kupanda  mtumbwi
Wasafiri wakishuka katika boti kuhairisha safari  baada ya   ziwa nyasa  kuchafuka (picha na MatukiodaimaBlog)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni