Afisa
 mwandikishaji msaidizi Shadrack Baruti akitoa maelezo ya uandikishaji 
wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa  BVR kwa 
viongozi wa vyama vya siasa wa Wilaya ya Babati Mjini, zoezi la 
uandikishaji linatarajia kuanza rasmi tarehe 09/6/2015 hadi tarehe 
09/7/2015 Mkoani Manyara.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni