![]()  | 
| Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ugongo kwenye Kaburi la Marehemu Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bin Simba, aliezikwa kwenye Makaburi ya Waislam, Nguzo Nane Mkoani Shinyanga. | 
![]()  | 
| Masheikh kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini wakimzika Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bin Simba, aliezikwa lkwenye Makaburi ya Waislam, Nguzo Nane Mkoani Shinyanga. | 


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni