Twaha
 Sultan akionyesha mpira anaotumia kwa ajili ya kujisaidia hali ambayo 
inampa maumivu makali pamoja na kupata gharama kubwa ya kubadilisha 
mpira kila baada ya wiki tatu.
  Mama mdogo wa Sultan, Sarha akionyesha uvimbe unaomsumbua mtoto Twaha sultan.
Mwenyekiti
 wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation, Sitti Mtemvu akizungumza baada
 ya kukabidhi msaada wa shs laki mbili kwa ajili ya kusaidia matibabu 
yake. 
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation, Sitti Mtemvu (kushoto), 
 akimkabidhi msaada wa sh. laki mbili, Sarha Magamba, jijini Dar es 
Salaam jana, kwa ajili ya kusaidia matibabu ya mtoto, Twaha Sultan (17),
 mkazi wa Kipawa Karakata (katikati), ambaye ana uvimbe wa kilo nne na 
nusu mgongoni.Yeyote atakayeguswa na tatizo la mtoto huyo anaweza 
kuwasiliana na mlezi wake kupitia namba ya simu  0713970491. 
Mwenyekiti
 wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation, Sitti Mtemvu (kushoto), 
akimkabidhi msaada wa sh. laki mbili, Sarha Magamba, jijini Dar es 
Salaam jana, kwa ajili ya kusaidia matibabu ya mtoto, Twaha Sultan (17),
 mkazi wa Kipawa Karakata (katikati), ambaye ana uvimbe wa kilo nne na 
nusu mgongoni.Yeyote atakayeguswa na tatizo la mtoto huyo anaweza 
kuwasiliana na mlezi wake kupitia namba ya simu  0713970491. 
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation, Sitti Mtemvu akiwasili
 nyumbani kwa mtoto Twaha Sultan Kipawa Karakata jijini Dar es Salaam 
ambapo alikabidhi msaada wa fedha kwa ajili ya matibabu ya mototo huyo 
anayekabiliwa na uvimbe mgongoni. Uvimbe huo unakadiliwa kufika kilo nne
 na nusu na kuweza kumuathiri mtoto huyo katika masomo yake kutokana na 
kushindwa kwenda shule. Yeyote atakayeguswa na tatizo la mtoto huyo anaweza kuwasiliana na mlezi wake kupitia namba ya simu  0713970491.
 Mama
 Mdogo wa mtoto Twaha sultan (17), Sarha Magamba mkazi wa Kipawa 
Karakata akizungumza na waandishi wa habari kuhusu matatizo uvimbe wa 
ajabu katika mgngo wake mtoto sultan ambaye anahitaji kufanyiwa 
upasuaji. 
 Twaha
 Sultan akionyesha mpira anaotumia kwa ajili ya kujisaidia hali ambayo 
inampa maumivu makali pamoja na kupata gharama kubwa ya kubadilisha 
mpira kila baada ya wiki tatu.
  Mama mdogo wa Sultan, Sarha akionyesha uvimbe unaomsumbua mtoto Twaha sultan.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation, Sitti Mtemvu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni