Mke
 wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa 
Sandton Internationa Center unakofanyika mkutano wa wake wa Marais na 
Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 
15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza
 muda wake Mama Hinda Derby Itno.
 Mke
 wa Rais Mama Saloma Kikwete akiangalia moja ya machapisho mbalimbali 
yanayohusiana na Mkutano wa Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika 
(OAFLA) unaofanyika nchini Afrika Kusini.
 Mke
 wa Rais Mama Saloma Kikwete akiangalia moja ya machapisho mbalimbali 
yanayohusiana na Mkutano wa Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika 
(OAFLA) unaofanyika nchini Afrika Kusini.
 Wake
 wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika wakiwa katika picha ya pamoja mara
 baada ya ufunguzi wa mkutano wao wa mwaka unaozungumzia uwezeshaji kwa 
wanawake na Maendeleo katika Bara hili.
 Mke
 wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa ameongozana na Mkurugenzi wa Idara ya 
Afya katika Taasisi ya Wanawake na Maendeleo Dr. Sarah Maongezi 
wakielekea kwenye ukumbi wa mkutano.
 Mke
 wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano huku 
akifuatana na Mke wa Mfalme Mswati III wa Swaziland Inkoskati Lamagongo 
(katikati) na kushoto ni Msaidizi wa Mke wa Mfalme.
 Mke
 wa Rais Mama Salma Kikwete akijiandaa kutoa hotuba yake ya mwisho 
kwenye Mkutano wa Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika unaofanyika 
huko Johannesburg Afrika Kusini 
  Mke
 wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake ya mwisho kwenye kikao 
cha Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika kinachofanyika kwenye 
Ukumbi wa Sandton jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 
 Mke
 wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake ya mwisho kwenye kikao 
cha Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika kinachofanyika kwenye 
Ukumbi wa Sandton jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini 









Hakuna maoni:
Chapisha Maoni