Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa Mradi wa Ujenzi wa 
Mki wa Avic, 'Avic Town', uliofanyika leo Juni 13, 2015 Kigamboni jijini
 Dar es Salaam
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing (kulia), Makamu wa 
Rais wa 'Avc International', Dkt. Cheng Baozhong (kushoto) kwa pamoja 
wakikata utepe kuzindua ramsi Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Avoc 'Avic 
Town', uliozinduliwa leo Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing (kulia), kwa pamoja 
wakifunua kitambaa kuashiria kuweka jiwe la Msingi la uzinduzi ramsi wa 
Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Avoc 'Avic Town', uliozinduliwa leo Kigamboni 
jijini Dar es Salaam.
  Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing (kulia), Makamu wa 
Rais wa 'Avc International', Dkt. Cheng Baozhong (wa pili kushoto) kwa 
pamoja wakifurahia baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa 
Mji wa Avoc 'Avic Town', uliozinduliwa leo Kigamboni jijini Dar es 
Salaam.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi baada ya uzinduzi 
huo
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi baada ya uzinduzi 
huo
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi baada ya uzinduzi 
huo
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akipanda mti wa kumbukumbu baada ya kuzindua ramsi Mradi wa Ujenzi wa 
Mji wa Avic 'Avic Town' uliofanyika leo Juni 13, 2015, Kigamboni jijini 
Dar es Salaam
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akipanda mti wa kumbukumbu baada ya kuzindua ramsi Mradi wa Ujenzi wa 
Mji wa Avic 'Avic Town' uliofanyika leo Juni 13, 2015, Kigamboni jijini 
Dar es Salaam
  Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akiangalia mandhali ya jiko katika moja kati ya nyumba zilizojengwa 
katika eneo hilo, wakati alipokuwa akitembelea nyumba hizo baada ya 
uzinduzi rasmi wa Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Avic 'Avic Town' Kigambon
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akitembelea mradi huo kukagua mara baada ya kuuzindua leo Kigamboni.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akitembelea mradi huo kukagua mara baada ya kuuzindua leo Kigamboni. 
Picha na OMR












Hakuna maoni:
Chapisha Maoni