![]()  | 
| RC ,Gamana iongozi wengine wakiskiliza nyimbo iliyokuwa ikiimbwa na kwaya ya shule ya sekondari Olele wilayani Rombo. | 
![]()  | 
| Jengo la Ukumbi wa Chakula lililojengwa kwa ufadhili wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) katika shule ya sekondari Olele wilayani Rombo. | 
![]()  | 
| Meneja Ujirani Mwema kutoka Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Ahmed Mbugi akitoa taarifa kuhusiana na ujenzi wa ukumbi wa Chakula katika shule ya sekondari Olele. | 
![]()  | 
| Baadhi ya wananchi katika kata ya Olele. | 
![]()  | 
| RC,Gama na DC,Kipuyo wakilowa kutokana na mvua iliyokuwa ikiendelea kunyesha. | 
![]()  | 
| Wanafunzi katika shule ya sekondari Olele wakifuatilia hotuba ya viongozi waliofika shuleni hapo kwa ajili ya makabidhiano ya ukumbi wa chakula uliojengwa na TANAPA. | 
![]()  | 
| Mkuu wa wilaya ya Rombo ,Lembris Kipuyo akizungumza katika hafla hiyo. | 
![]()  | 
| Wakazi wa kata ya Olele. | 
![]()  | 
| Mkuu wa mkoa wa Kilimajaro ,Leonidas Gama akikagua jengo hilo. | 
![]()  | 
| Na Mahmoud Ahmad.Kinapa | 

















Hakuna maoni:
Chapisha Maoni