Baadhi ya Wananchi mbalimbali 
wakifuatilia kikao cha Bajet cha Baraza la Wawakilishi kinachoendelea 
huko Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Waziri wa Ardhi Makaazi Maji na 
Nishati Ramadhan Abdalla Shaabani katikati mwenye kofia akiwa na Naibu 
wake Haji Mwadini Makame wakipongezwa na baadhi ya wajumbe wa Baraza la 
Wawakilishi baada ya kupita kwa Bajeti ya Wizara yake nje ya Ukumbi wa 
Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Waziri wa Ardhi Makaazi Maji na 
Nishati Ramadhan Abdalla Shaabani Kulia akipewa mkono wa pongezi na 
Mwakilishi wa Kikwajuni Mahmoud Mohammed Mussa baada ya kupita kwa 
bajeti ya Wizara yake nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Nje 
ya mji wa Zanzibar.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni