KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2015.
Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe akiwasilisha makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo ya mwaka 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Ilala na Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azan Zungu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5,2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na madiwani kutoka Halmashauri ya Wiaya ya Mlele kwenye viwanja vya Bunge mji Dodoma Juni 15, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wabunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah (katikati) na Esthe Bulaya kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 5,2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Afya, Dkt Kebwe kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 5, 2015.

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akisalimiana na wanakwaya wa kwayaya Imani ya Kanisa Kuu la KKKT Mwanza waliotembelea Bunge Juni 5,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni