Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,
 Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, bungeni mjini Dodoma Juni 5, 
2015.
Waziri
 wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe akiwasilisha makadirio ya Matumizi ya
 Wizara hiyo ya mwaka 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2015.
Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Ilala na Mwenyekiti wa 
Bunge, Mussa Azan Zungu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5,2015.
Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na madiwani kutoka 
Halmashauri ya Wiaya ya Mlele kwenye viwanja vya Bunge mji Dodoma Juni 
15, 2015.
Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wabunge wa Viti Maalum, Anna 
Abdallah (katikati) na Esthe Bulaya kwenye viwanja vya Bunge mjini 
Dodoma Juni 5,2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Afya, Dkt Kebwe kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 5, 2015.
Waziri
 Mkuu,Mizengo Pinda akisalimiana na wanakwaya wa kwayaya Imani ya Kanisa
 Kuu la KKKT Mwanza waliotembelea Bunge Juni 5,2015. (Picha na Ofisi ya 
Waziri Mkuu).


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni