Waziri
 wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la 
Mtama, Bernard Membe (katikati) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha 
Mapinduzi (CCM), waliofika kumpokea nje ya Ofisi ya CCM Mkoa wa Ruvuma 
iliyopo mjini Songea jana, baada ya kuwasili mkoani humo kwa ajili ya 
kutafuta wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika 
uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata 
wadhamini zaidi ya 5,000.
Waziri
 wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la 
Mtama, Bernard Membe akiwapungua mkono wanachama wa Chama Cha Mapinduzi 
(CCM) na wananchi, waliofurika nje ya Ofisi ya CCM Mkoa wa Ruvuma 
iliyopo mjini Songea jana, baada ya kuwasili mkoani humo kwa ajili ya 
kutafuta wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika 
uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata 
wadhamini zaidi ya 5,000.
Waziri
 wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la 
Mtama, Bernard Membe (kushoto) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha 
Mapinduzi (CCM) na vijana, waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa 
mjini Songea jana, baada ya kuwasili mkoani Ruvuma kwa ajili ya kutafuta
 wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi 
mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini 
zaidi ya 5,000. Picha zote na John Badi
Waziri
 wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la 
Mtama, Bernard Membe (kushoto) akisoma moja ya mabango yenye ujumbe 
mbalimbali yaliyobebwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na 
vijana, waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa mjini Songea jana, 
baada ya kuwasili mkoani Ruvuma kwa ajili ya kutafuta wadhamini 
watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao 
kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 
5,000.
Mwenyekiti
 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma, Odo Mwisho akimkabidhi 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la
 Mtama, Bernard Membe, fomu zilizotiwa saini na wanachama wa CCM mkoani 
humo, waliofika kwenye Ofisi hizo jana, kwa ajili ya kumdhamini ili 
ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama 
hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 5,000.
Waziri
 wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la 
Mtama, Bernard Membe, akizihakiki fomu zilizotiwa saini na wanachama wa 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma, kwa ajili ya kumdhamini ili 
ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama 
hicho, baada ya kukabidhiwa na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa huo, Odo Mwisho
 (wa pili kulia), katika Ofisi za chama hicho mjini Songea jana, ambapo 
aliweza kupata wadhamini zaidi ya 5,000.
Waziri
 wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la 
Mtama, Bernard Membe akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi 
(CCM) wa Mkoa wa Ruvuma, waliofika kwenye Ofisi ya CCM zilizopo mjini 
Songea jana, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe 
kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, 
ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 5,000.
Waziri
 wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la 
Mtama, Bernard Membe (watatu kushoto), akipongezwa na wanachama wa Chama
 Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Ruvuma, waliofika kwenye Ofisi ya CCM 
zilizopo mjini Songea jana, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini 
ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama
 hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 5,000. Wa pili 
(kushoto) ni Mkewe, Mama Dorcas Membe.
Wazee
 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Ruvuma, wakimuembea dua maalum 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la
 Mtama, Bernard Membe (kushoto), kwa ajili ya kumtakia kheri katika 
safari yake ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika 
uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya 
kupata wadhamini kutoka mkoa huo jana. Wa pili (kushoto) ni Mkewe, Mama 
Dorcas Membe.
John Badi









Hakuna maoni:
Chapisha Maoni