Mbunge
 wa Jimbo la Sengerema na aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini 
William Ngeleja amekanusha taarifa za kukutwa na tuhuma za ufisadi 
uliopelekea kuvuliwa uwaziri.
amesema
 wananchi wengi wamekuwa wakidhani kuwa aliondolewa katika wadhifa huo 
kwa kutumia madaraka vibaya jambo ambalo si sahihi. 
Ameongeza
 utaratibu uliofanyika kumuondoa ni utaratibu wa kawaida na kuwa unaweza
 kutumika hata bila ya kuwa na udhaifu katika uongozi.
Ameongeza kumekuwa na baadhi ya baadhi ya watu wanaoeneza habari hizo kwa leo la kumchafua.
Willim Ngeleja anaungana na viongozi wengine wa siasa kutangaza nia ya kugombea urais. BOFYA VIDEO JUU KUMSIKILIZA.
Hebu tujiulize. Kwa nini Takwimu za uchumi nchini zinaonyesha Uchumi 
ukikuwa kwa wastani wa asilimia 7% takribani kwa muongo mzima wa 
takribani miaka 10 mfululizo lakini umasikini umekuwa ukipungua kwa 
asilimia 2% tu? BOFYA VIDEO JUU KUSIKILIZA






















Hakuna maoni:
Chapisha Maoni