TANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA DARAJA KATIKA VIJIJI VYA SINGA NA SUNGU WILAYA YA MOSHI VIJIJINI.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akizungumza wakati wa kuzindua rasmi mradi wa daraja uliofadhiliwa na Hifadhi za Taifa ,Tanzania (TANAPA) kwa ajili ya wakazi wa vijiji vya Singa na Sungu wilaya ya Moshi.
Daraja linalotenganisha vijiji vya Singa na Sungu wilaya ya Moshi vijijini ambalo kwa sasa limekuwa msaada mkubwa kwa wakazi wa maeneo hayo kufika kwa urahisi katika hosptali ya Kibosho.
Katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro,Remida Ibrahim akizungumza katika hafla fupi ya makabidhiano ya mradi huo pamoja na kufanya utambulisho kwa viongozi.
Mhifadhi mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro(KINAPA) Erastus Rufunguro akizungumza katika makabidhiano hayo.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akikata utepe katika daraja hilo kuashiria uzinduzi rasmi wa daraja.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni