Katibu
 Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt.Florens Turuka (wa kwanza kushoto) 
akisalimiana na Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu  
Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Issa Nchansi alipokuwa akiwasili katika Viwanja 
wa Baraza la Maaskofu Kusarani wakati wa mafunzo kuhusu Menejimenti ya 
Maafa kwa wafanyakazi wa Ofisi hiyo, Juni 4, 2015.
Mkurugenzi
 wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen, Mbazi Msuya
 akieleza jambo kwa washiriki wa mafunzo ya kuhusu Menejimenti ya Maafa 
katika Ukumbi wa Baraza la Maaskofu Dar es Salaam, Juni 4, 2015.
Baadhi
 ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifanya zoezi la kuzima moto 
baada ya mafunzo ya kujiandaa na kukabiliana na dharura ya moto Juni 4, 
2015 katika Ukumbi wa Baraza la Maaskofu Dar es Salaam.
Baadhi
 ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza Mwezeshaji wa mada
 ya Menejimenti ya Maafa Bi. Naima Mrisho (hayupo pichani) wakati wa 
mafunzo yaliyoratibiwa na Idara Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu 
katika Ukumbi wa Baraza la Maaskofu Kurasini, Dar ea Salaam Juni 4, 
2015.
Katibu
 Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt.Florens Turuka (wa kwanza kulia) akiteta 
jambo viongozi wa Ofisi hiyo, wa kwanza kushoto ni Mkurugenza wa Utawala
 na Usimamizi wa Rasiliamiliwatu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Issa Nchansi
 na katikati ni Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri 
Mkuu,  Brig. Jen,  Mbazi Msuya  mara baada ya kutoka nje ya ukumbi wa 
Baraza la Maaskofu Dar es Salaam Juni 4, 2015.
Baadhi
 ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiiza Mkufunzi wa masuala
 ya kujikinga na dharura ya moto kutoka Chuo cha Zima moto Bw. Rajabu 
Mwangalamo wakati wa Mafunzo ya Menejimenti ya Maafa yaliyofanyika 
Baraza la Maaskofu Kurasini Dar es Salaam Juni 4, 2015.
Baadhi
 ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifanya zoezi la kuzima moto 
baada ya mafunzo ya kujiandaa na kukabiliana na dharura ya moto Juni 4, 
2015 katika Ukumbi wa Baraza la Maaskofu Dar es Salaam. (Picha na Ofisi 
ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni