HABARI PICHA-MKUU WA MKOA WA ARUSHA AKITAZAMA KONTENA LILILOZOLEWA MAFURIKO NG`AMBO YA BARABARA HADI KATIKATI YA BARABARA

Mkuua  wa mkoa wa Arusha Daudi Felix Ntibenda akitazama Kontena lililozombwa na mafuriko kutoka ng`ambo ya barabara hadi katikati ya barabara jana katika eneo la Ngaramtoni kufuatia mvua zilizonyesha juzi na kusababisha madhara ikiwemonyumba kuharibiwa na mifugo kufa.Picha na Ferdinand Shayo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni