| Mkuua  wa mkoa wa Arusha Daudi Felix Ntibenda akitazama Kontena 
lililozombwa na mafuriko kutoka ng`ambo ya barabara hadi katikati ya 
barabara jana katika eneo la Ngaramtoni kufuatia mvua zilizonyesha juzi 
na kusababisha madhara ikiwemonyumba kuharibiwa na mifugo kufa.Picha na 
Ferdinand Shayo | 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni