WANAWAKE MUWSA WAMPONGEZA MKURUGENZI MPYA JOYCE MSIRU

Kiongozi wa wafanyakazi wa kike katika Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi Aiseta Masawe akitoa neno la ukaribisho katika hafla fupi ya kumpongeza mkurugenzi mpya.
Baadhi ya wafanyakazi wa kike wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi |(MUWSA) wakiwa katika ukumbi wa Bodi ya Mamlaka hiyo wakimpongeza mkurugenzi mpya wa Mamlaka hiyo.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,|(MUWSA) Joyce Msiru akiwashukuru wafanyakazi wanawake kwa pongezi walizotoa kwake.
Baadhi ya wafanyakazi wa kike wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi |(MUWSA).
Mmoja wa wafanyakazi wa Kike katika mamlaka hiyo ,Recho Sagati akitoa neno kwa Mkurugenzi mpya wa MUWSA.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,|(MUWSA) Joyce Msiru akiwasikiliza kina mama hao.
Mmoja wa wanawake hao blenda Kempson akisoma neno mbele ya mkurugenzi huyo kutoka katika Biblia kama mwongozo katika uongozi wake.
akimkabidhi Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo zawadi ya Biblia .
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,Joyce Msiru akifurahia zawadi ya kadi na Biblia aliyopewa na wafanyakazi wa kike katika mamlaka hiyo.
Wafanyakazi wakigonga Cheers na Mkurugenzi wao .
Mmoja wa wanawake katika mamlaka hiyo ,Mwandani Mtonyi akitoa neno la shukrani.
Wanawake hao wakakabidhi pia zawadi ya Kitenge.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni