Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akimuelekeza jambo Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB
 Dkt. Tonia Kandiero Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
 Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Tonia 
Kandiero Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 na Balozi wa Rwanda hapa nchini Eugene Kayihura aliyefika Ikulu kwa 
ajili ya mazungumzo.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
 Balozi wa Rwanda hapa nchini Eugene Kayihura aliyefika Ikulu kwa ajili 
ya mazungumzo. Picha zote na IKULU
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akimkaribisha  Maalim Seif Sharif Hamad ,Makamu wa Kwanza wa Rais wa 
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya 
 Mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa ya  Zanzibar. Katika Mazungumzo hayo 
viongozi wote wamefurahishwa na hali ya usalama na utulivu inayoendelea.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 na Maalim Seif Sharif Hamad ,Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya 
Mapinduzi ya Zanzibar Ikulu jijini Dar es Salaam.Rais amemshukuru  
Maalim Seif  na amemsihi waendelee na mazungumzo hadi suluhisho la 
muufaka lipatikane.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
 Maalim Seif Sharif Hamad ,Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya 
Mapinduzi ya Zanzibar Ikulu jijini Dar es Salaam, wakwanza kushoto ni 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu 
Hassan.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
katika picha  na Maalim Seif Sharif Hamad ,Makamu wa Kwanza wa Rais wa 
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
 Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Tonia 
Kandiero Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni