MOTO WAUNGUZA MAKUMBUSHO MUHIMU JIJINI SAO PAULO, BRAZIL

Moto katika mji wa Sao Paulo Jijini Brazil umeharibu sehemu ya historia ya karne ya kituo cha reli cha 19 katika jengo hilo lenye makumbusho maarufu.

Eneo la makumbusho hayo, ambayo yananyaraka za historia ya lugha ya kireno, limeharibiwa vibaya na moto.

Moto huo umeharibu paa la kituo hicho cha reli, ambalo lilijengwa na Waingereza katika miaka ya ukoloni. 
          Eneo la juu la jengo hilo lililoungua linavyoonekana baada ya moto kudhibitiwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni