Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akikabidhiwa zawadi ya shati la asili la  Wamwera
  na Mzee Saidi Issa Hanga katika mkutano wa hadhara aliouhutubia  mjini
 Ruangwa Desemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary wakisalimiana na wazee wa Ruangwa 
kabla ya mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu mjini Ruangwa 
Desemba 20, 2015. (PIcha na Ofisi ysa Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha na kufurahia  silaha  za asili 
alizokabidhiwa na wazee wa Ruangwa kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara
 mjini hapo Desemba  20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim  Majaliwa alipokea zawadi ya rungu kutoka kwa Mzee  Issa 
Juma Nangalapa ikiwa ni ishashara ya kumtaka awaadhibu wotw wanaokiuka 
sheria. Alikuwa katika mkutano wa hadhara aliouhutubia mjini Ruangwa 
Desemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia moja kati ya zana na silaha  za asili 
alizokabidhiwa na wazee wa Ruangwa kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara
 mjini hapo Desemba  20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni