MAELFU WAANDAMANA KUMTAKA RAIS JACOB ZUMA AACHIE MADARAKA

Maelfu ya waandamanaji wameandamana nchini Afrika Kusini kushinikiza rais Jacob Zuma kuondoka madarakani.

Maandamano hayo yanatokana na hatua ya rais Zuma kuwafukuza kazi mawaziri wa fedha wawili wiki iliyopita, na kuathiri mno uchumi wa taifa hilo.

Hali hiyo imekuja huku kukiwa na madai ya kusambaa kwa rushwa nchini Afrika Kusini, maandamano ya hivi karibuni ya wanafunzi pamoja na vita vya madaraka kwenye chama chake cha ANC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni