Mchezaji
 wa Timu ya JKU Rose Israel (WA) na Uhamiaji Sofia Komba (C) wakiwania 
mpira wakasti wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Muungano iliofanyika katika 
uwanja wa Gmykhana Zanzibar Timu ya Uhamiaji imeshinda kwa mabao 38--25.
Mchezaji
 wa Timu ya JKU Dawa Haji (GA) akijiandaa kudaka mpira huku mlizi wa 
Timu ya Uhaniaji Kachilika Joana (GD) akijiandaa kumzuiya katika mchezo 
huo.Timu ya Uhamiaji imeshinda 38--25 
 Wachezaji wa Timu ya Uhamiaji Skozi Jackline (WA) na JKU Ashura Ramadhani (WD) 
 Mchezaji
 wa Timu ya Uhamiaji Mary Banya (GS) akijiandaa kufunga wakati wa mchezo
 wao na Timu ya JKU uliofanyika uwanja wa Gmykhana Zanzibar. 
Wapenzi
 wa mchezo wa Netiboli Zanzibar wakifuatilia mchezo huo wa Ligi Kuu ya 
Muungano kati ya Uhamiaji na JKU uliofanyika uwanja wa Gmykhana 
Zanzibar.
Mchezaji
 wa Timu ya Uhamiaji Restuta Boniface (WD) akiwa hewani akidaka mpira 
wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Kombe la Muungano uliofanyika Uwanja
 wa Gmykhana Zanzibar
 Mchezaji
 wa Timu ya Uhamiaji Skozi Jackline (WA) akiwa hewani akidaka mpira 
wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Kombe la Muungano uliofanyika Uwanja
 wa Gmykhana Zanzibar
  
Wachezaji wa Timu ya Uhamiaji na JKU wakiwa katika goli la JKU 
weakiushindikiza mpira golini kuandika bao kwa timu ya Uhamiaji. 
Wachezaji
 wa Timu ya Uhamiaji wakishangilia Ushindi wao dhidi ya Timu ya JKU 
ukiwa ni mchezo wa mwishi kukamilisha Ligi Kuu ya Muungani iliofanyika 
Uwanja wa Gmykhana Zanzibar kwa kupata ushindi wa mabao 38--25.
 Wachezaji
 wa Timu ya Uhamiaji wakishangilia Ushindi wao dhidi ya Timu ya JKU 
ukiwa ni mchezo wa mwishi kukamilisha Ligi Kuu ya Muungani iliofanyika 
Uwanja wa Gmykhana Zanzibar kwa kupata ushindi wa mabao 38--25.
Kocha 
Mkuu wa Timu ya Uhamiaji akizungumza na Waandishi wa habari baada ya 
kumalizika mchezo wao na Timu ya JKU ya Zanzibar ya kukamilisha Ligi Kuu
 ya Muungano Mchezo wa Netiboli uliofanyika Uwanja wa Gmykhana Timu ya 
Uhamiaji imeshida kwa 38--25
Imetayarishwa na Othmanmapara.Blogspot.
Zanzinews.com, . 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni