![]()  | 
| Wazazi wa marehemu Doto Mzava wakitoa heshima za mwisho kwa mtoto wao mpendwa. | 
![]()  | 
| Baadhi ya wanandugu na marafiki wakitoa heshima za mwisho . | 
![]()  | 
| Baadhi ya marafiki ,ndugu na majirani waliotoka maeneo mbalimbali kushiriki maziko ya marehemu Doto | 
![]()  | 
| Jeneza lenye mwili wa marehemu Doto likitolewa ndani ya nyumba . | 
![]()  | 
| Mmoja wa wakurugenzi wa Jamii Media group Maxence Melo alikua miongoni mwa waombolezaji katika mazishi ya mmoja wa wafanyakazi wake wa mtandao wa Jamii Forum. | 
![]()  | 
| Hali ya Majonzi ilitawala nyumbani hapo | 
![]()  | 
| Mchungaji wa kanisa la Adventista Wasabato ,Mchungaji Ezekiel akiongoza ibada ya mazishi ya marehemu Doto. | 
![]()  | 
| Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Doto tayari kwa ajili ya kuwekwa kwenye nyumba yake ya milele. | 
![]()  | 
| Jeneza likishushwa kaburini. | 
![]()  | 
| Mchungaji Ezekiel akisoma neno mbele ya kaburi. | 
![]()  | 
| Mchungaji akiweka mchanga kaburini. | 
![]()  | 
| zoezi la kufukia kaburi likaanza . | 
![]()  | 
| Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika maziko ya marehemu Doto kijijini Vudee wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro. | 
![]()  | 
| Mmoja wa Wanachama wa kundi la Mtandao la MADA MOTO la mjini Moshi ,Charles Ndagula akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya kundi hilo ambalo Doto alikuwa mwanachama wake. | 
![]()  | 
| Kiongozi wa kundi la Prince Media akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya wanachama wa kundi hilo ambao walisoma na marehemu Doto. | 
![]()  | 
| Mweka hazina wa Arusha Press Club (APC) Pamela Mollel akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya wanahabari wa mkoani Arusha | 
![]()  | 
| Salamu za Rambi rambi zilitoka maeneo mbalimbali. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.  | 















































Hakuna maoni:
Chapisha Maoni