MWANAMUZIKI NGULI WA RAP LL COOL J KUSHEREHESHA TUZO ZA GRAMMY

Tuzo za Grammy za mwaka huu zitachagizwa na kuwapo kwa nyimbo nyingi mpya lakini zitakuwa na sura iliyozoeleka ya LL Cool J.

Waandaaji wa tuzo hizo za muziki wamemtangaza msanii wa rap ambaye ni muigizaji filamu, kuwa atakuwa mshereheshaji mkuu kwa mwaka wa tano mfululizo.

Tuzo hizo za Grammy zitarushwa hewani Februari 15 katika ukumbi wa Staples Center Jijini Los Angeles.
     Mwanamuziki Justin Bieeber ni miongoni mwa wanaowania tuzo za Grammy
              Mwanamuziki Taylor Swift naye yupo katika mchuano wa kuwania tuzo hizo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni