KOCHA PEP GUARDIOLA ATAONDOKA BAYERN MUNICH MWISHONI MWA MSIMU

Kocha Pep Guardiola ataondoka Bayern Munich mwishoni mwa msimu huu na nafasi yake kutwaliwa na Carlo Ancelotti.

Guardiola, 44, amekuwa akihusihswa na klabu za Manchester City, Manchester United, Chelsea pamoja na Arsenal.

Kocha huyo wa zamani wa Barcelona ameshinda mataji mawili ya ligi pamoja na Kombe la Ujerumani tangu ajiunge na Bayern majira ya joto mwaka 2013. 
                  Carlo Ancelotti akikumbatiana na Pep Guardiola ambaye atamrithi 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni