Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani 
akizungumza na watendaji wa Wizara ya Ujenzi pamoja na Taasisi zake 
kuhusu ufanyaji kazi kwa uadilifu kwa kuzingatia maslahi ya jamii.
 Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani 
akisalimiana na baadhi ya watendaji wa Wizara ya iliyokuwa ya Uchukuzi 
wakati alipotembelea Wizara hiyo ambayo sasa imeunganishwa na Ujenzi na 
Mawasiliano.
 Naibu
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akitoa 
maelekezo kwa watendaji wa Wizara hiyo namna ya kukabiliana na 
changamoto mbalimbali zinazowakabili na mikataba wanayoingia iwe kwa 
maslahi ya nchi.
 Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani 
akiweka sahihi katika kitabu cha wageni huku Katibu Mkuu wa aliyekuwa 
Wizara ya Mawasiliano, Sayansi  na Teknolojia Bw. Yamungu Kayandabila 
akishuhudia.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni