Watoto wa Chuo waliowahi kuishi chuoni hapo wakiwa kwenye picha ya pamoja hakika hii ilikuwa ni party ya nguvu.
Watoto wa chuo waliokuwa wakiishi katika Chuo Kikuu cha Dar es 
Salaam (UDSM)  wakati wazazi wao wakiwa ni wahadhiri katika Chuo Kikuu 
cha Dar es Salaam. Ili kuweka ukaribu watoto hao wamekutana na kufanya 
party ya nguvu hivi karibuni katika viwanja vya UDSM hii ikiwa ni 
kurudisha ukaribu pamoja na kufahamiana kwa wale waliopotezana miaka 
kadhaa chuoni hapo.
Hakika ilikuwa ni siku ya furaha maana watu walikuwa wanakumbushana mambo ya miaka ya 90 kwani kipindi hicho walikuwa wadogo.
Watoto
 wakiendelea kucheza wakati wa party ya watoto walioishi chuoni hapo 
kipindi wazazi wao bado ni waalimu katika chuo cha UDSM
Full Happy kwa kila tu aliyefika katika Party hiyo.
Watoto
 wa wahadhiri wa UDSM wakibadilishana mawazo kwenye party ya 
kuwaunganisha pamoja kama wanafamilia wa Chuo kikuu cha Dar  es Salaam 
(UDSM).
Hakika
 watoto walikuwa waki-enjoy vya kutosha maana hakuna aliyeboreka kwani 
kulikuwa na kila aina ya michezo kwa watoto wa rika zote.
Baadhi ya watoto wakiwa wametokelezea kwenye ukodak.
Baadhi
 ya watoto walioishi Chuoni UDSM wakiangalia vitabu pamoja na kununua 
vitabu hii ikiwa ni kundeleza utamaduni wa kujisomea.
Hakika ilikuwa shangwe kwa watoto walioishi chuoni hapo wakati wazazi wao ni wahadhiri chuoni hapo
Hivi ni Baadhi ya vitabu vilivyokuwa vinauzwa wakati wa Party hiyo iliyofanyika chuoni hapo.
Muda wa kuserebuka ulifika sasa kila mtu akaanza kuonesha umahiri wake kwenye kulisakata Rhumba.
Watoto wa Chuo wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumaliza party yao.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni