Waziri
 Mkuu, Kassim Majliwa akikagua baadhi ya vitanda na vifaa mbalimbali vya
 hospitali vyenye thamani ya sh. bilioni 10 vilivyotolewa na kampuni za 
vinywaji baidi za Coca cola- Kwanza, Azam  Cola  na Pepsi Cola- SBC  
katika makabidhino yaliyofanyika kwenye maghala ya MSD yaliyopo Mabibo 
jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kulia  kwake ni Katibu Mkuu wa 
Wizara ya Afya, Dkt. Ulisubisya Mpoki. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim Majliwa akikagua baadhi ya vitanda na vifaa mbalimbali vya
 hospitali vyenye thamani ya sh. bilioni 10 vilivyotolewa na kampuni za 
vinywaji baidi za Coca cola- Kwanza, Azam  Cola  na Pepsi Cola-SBC 
katika makabidhino yaliyofanyika kwenye maghala ya MSD yaliyopo Mabibo 
jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kushoto   ni Katibu Mkuu wa 
Wizara ya Afya, Dkt. Ulisubisya Mpoki. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim Majliwa akikagua baadhi ya vitanda na vifaa mbalimbali vya
 hospitali vyenye thamani ya sh. bilioni 10 vilivyotolewa na kampuni za 
vinywaji baidi za Coca cola- Kwanza, Azam  Cola  na Pepsi Cola-SBC 
katika makabidhino yaliyofanyika kwenye maghala ya MSD yaliyopo Mabibo 
jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kushoto   ni Katibu Mkuu wa 
Wizara ya Afya, Dkt. Ulisubisya Mpoki. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea moja ya vifaa vya hospitali kutoka kwa 
wawailishi wa makampini ya Vinywaji baridi ya Coca Cola- Kwanza, Azam 
Cola na Pepsi Cola-SBC  katika makabidhino yaliyofanyika kwenye maghala 
ya MSD yaliyopo Mabibo jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kushoto  
Mkurugenzi wa Pepsi, Avinash Jha,Wapili kushoto ni  Reginald Mengi 
ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa IPP na Wapili kulia ni Basil 
Gadzios wa Coca cola Kwanza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana   baadhi ya viongozi vya makampuni 
ya vinywaji  baridi ya Coca Cola- Kwanza, Azam Cola na Pepsi Cola-SBC  
katika makabidhino ya vofaa vya hospitali vyenye thamani ya shilingi 
bilioni 10 yaliyofanyika kwenye maghala ya MSD yaliyopo Mabibo jijini 
Dar es salaam Februari 25, 2016. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Pepsi, 
Avinash Jha, Reginald Mengi ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa IPP na 
Basil Gadzios wa Coca cola Kwanza.  Kulia    ni Katibu Mkuu wa Wizara ya
 Afya, Dkt. Ulisubisya Mpoki. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni