Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini Kuweit Dkt. Mahadhi Juma 
Maalim wakati Balozi Mahadhi alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu 
Dar es salaam leo Februari 25, 2016 kwa ajili ya kujitambulisha.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akizungumza na Balozi wa Tanzania Nchini Kuweit Dkt. Mahadhi Juma Maalim
 wakati Balozi Mahadhi alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu       
  Dar es salaam leo Februari 25, 2016 kwa ajili ya kujitambulisha. 
(Picha na OMR)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni