Baadhi
 ya vifaa mbalimbali vya Hospitali vyenye Thamani ya Dola za kimarekani 
3,45000 (laki tatu arobaini na tano Elfu)vilivyotolewa na Taasisi ya 
Kiislamu ya Muzdalifat kwa kushirikiana na Taasisi ya Helping Hand yenye
 makao Makuu nchini Marekani.
Wanafunzi
 wa skuli ya Sekondari ya Farouk Aktas Muslim iliopo kisauni Wilaya ya 
Magharibi B Unguja  wakihudhuria katika Hafla ya Utoaji wa Vifaa 
mbalimbali vya Hospitali vyenye Thamani ya Dola za kimarekani 3,45000 
(laki tatu arobaini na tano Elfu)kutoka Taasisi ya Kiislamu ya 
Muzdalifat kwa kushirikiana na Taasisi ya Helping Hand yenye makao Makuu
 nchini Marekani.
Naibu
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya Halima Salum katikati akipata maelezo kwa 
Muakilishi wa Taasisi ya Helping Hand Mohammad Habibu kuhusiana na Vifaa
 mbalimbali vya Hospitali vyenye Thamani ya Dola za kimarekani 3,45000 
(laki tatu arobaini na tano Elfu)vilivyotolewa na  Taasisi ya Kiislamu 
ya Muzdalifat kwa kushirikiana na Taasisi yake yenye makao Makuu nchini 
Marekani.hafla iliofanyika Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Katibu
 Mtendaji wa Taasisi ya Muzdalifat Farouk Hamadi akitoa hotuba ya 
kumkaribisha Mgeni rasmi katika Hafla ya kutoa Vifaa mbalimbali vya 
Hospitali iliofanyika Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Naibu
 katibu Mkuu Wizara ya Afya Halima Salum akikabidhiwa Vifaa mbalimbali 
vya Hospitali vyenye thamani ya Dola za Kimarekani 3,45000 (laki tatu 
Arobaini na Tano Elfu) na Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Muzdalifat 
Farouk Hamadi.wa kwanza kushoto ni Muakilishi wa Taasisi ya Helping Hand
 yenye makao makuu Nchini Marekani Mohammad Habibu.
Naibu
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya Halima Salum akitoa hotuba baada ya kupokea 
Vifaa mbalimbali vya Hospitali vyenye thamani ya Dola za Kimarekani 
3,45000 (laki tatu Arobaini na Tano Elfu) vilivyotolewa na Taasisi ya 
Muzdalifat Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja. 
 
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni