Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (katikati) akiwa katika
picha ya pamoja na wawekezaji kutoka Bara la Ulaya, ambao ni Mkurugenzi
wa Mauzo ya Nje wa Kampuni ya Vifaa vya Zimamoto nchini Ubeligiji, Jan
Schampheleer (kulia), Rais wa Klabu ya Wafanyabiashara wa Ulaya, Dk.
Erick Gohl (wapili kulia), Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Daraja la
Umoja kati ya Bara la Ulaya na Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Kusini mwa
Afrika (Sadc)-(ESSB), Dk. Alawi Swabury, na wapili kushoto ni
Mwakilishi wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) ambaye pia ni
Mkurugenzi wa Sera na Uraghibishaji wa Taasisi hiyo, Edward Furaha.
Wawekezaji hao walikutana katika ofisi ya Waziri Kitwanga, jijini Dar es
Salaam leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni