ADELE AZOA TUZO NNE KATIKA TUZO ZA WASANII WA MUZIKI NCHINI UINGEREZA

Mwanamuziki Adele ametiririkwa na machozi ya furaha baada ya kushinda tuzo nne ikiwemo ya msanii solo mwanamke pamoja na tuzo ya albamu bora kwenye tuzo za muziki za nchini Uingereza.

Akiongea kwa hisia kali mara baada ya kutwaa tuzo hizo amesema baada ya kutokea mbali na kupokelewa kwa faraja kunamana kubwa kwake.

Nyota huyo ambaye pia alitumbuiza nyimbo ya kufungia hafla za utoaji tuzo kwa kuimba wimbo wake wa 'When We Were Young', pia amepata tuzo ya mwanamuziki Muingereza aliyefanikiwa dunani.
                        Drake na Rihanna wakitumbuiza kwenye tuzo hizo za Uingereza
                   Msanii Justin Bieber akiwa jukwaani kwenye tuzo za muziki Uingereza

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni