MAJALIWA AWATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAFURIKO NA KUPOKEA MISAADA YA MAAFA IRINGA

KAS1
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua baadhi ya nyumba za dharura wanazoishi wananchi wa katika kijiji cha Kasanga baada ya maeneo yao kukumbwa na mafuriko kwenye tarafa za Pawaga na Idodi, Iringa Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua baadhi ya nyumba za dharura wanazoishi wananchi wa katika kijiji cha Kasanga baada ya maeneo yao kukumbwa na mafuriko kwenye tarafa za Pawaga na Idodi, Iringa Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS3
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua eneo yalipojengwa makazi ya dharura katika kijiji cha Kasanga ili kuwahifadhi wananchi walioathirika kwa mafuriko katika tarafa za Pawaga na Idodi Iringa Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS4
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwapa pole wanawake na watoto wakati alipotembelea makazi ya dharura waliyojengewa na serikali katika kijiji cha Kasanga wanapohifadhiwa waathirika wa mafuriko yaliyozikumba tarafa za Pawaga na Idodi , Iringa Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS5
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwapa pole wanawake na watoto wakati alipotembelea makazi ya dharura waliyojengewa na serikali katika kijiji cha Kasanga wanapohifadhiwa waathirika wa mafuriko yaliyozikumba tarafa za Pawaga na Idodi , Iringa Februari 22, 2016.Kushoto ni Mbunge wa Ismani na Wairi w Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS6
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwapa pole wanawake na watoto wakati alipotembelea makazi ya dharura waliyojengewa na serikali katika kijiji cha Kasanga wanapohifadhiwa waathirika wa mafuriko yaliyozikumba tarafa za Pawaga na Idodi , Iringa Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS7
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwapa pole wanawake na watoto wakati alipotembelea makazi ya dharura waliyojengewa na serikali katika kijiji cha Kasanga wanapohifadhiwa waathirika wa mafuriko yaliyozikumba tarafa za Pawaga na Idodi , Iringa Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS8
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea taarifa ya msaada kutoka kwa meneja uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mangele katika mkutano wa kuwapa pole wananchi wa tarafa za Pawaga na Idodi uliohutubiwa na Waziri Mkuu katika Kijiji cha Kasanga, Iringa Februari 22, 2016. Mfuko huo umetoa mabati 200 na saruji mifuko 200 vyote vikiwa na thamani ya sh. 6,600,000/=.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS9
Baadhi ya watoto wanaoishi katika makazi ya dharura kwenye kijiji cha Kasanga wanapohifadhiwa waathirika wa mafuriko yaliyozikumba tarafa za Idodi na Pawaga, Iringa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipotembelea kijiji hicho kuwapa pole wananchi Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni