Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua baadhi ya nyumba za dharura wanazoishi 
wananchi wa katika kijiji cha Kasanga baada ya maeneo yao kukumbwa na 
mafuriko kwenye tarafa za Pawaga na Idodi, Iringa  Februari 22, 2016. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua baadhi ya nyumba za dharura wanazoishi 
wananchi wa katika kijiji cha Kasanga baada ya maeneo yao kukumbwa na 
mafuriko kwenye tarafa za Pawaga na Idodi, Iringa  Februari 22, 2016. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu Kassim Majaliwa  akikagua eneo yalipojengwa makazi ya dharura 
katika kijiji cha Kasanga ili kuwahifadhi wananchi walioathirika kwa 
mafuriko katika tarafa za Pawaga na Idodi  Iringa Februari 22, 2016. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu  Kassim Majaliwa akiwapa pole wanawake na watoto wakati 
alipotembelea makazi ya dharura  waliyojengewa na serikali katika kijiji
 cha Kasanga  wanapohifadhiwa waathirika wa mafuriko yaliyozikumba 
tarafa za Pawaga na Idodi , Iringa Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya
 Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu  Kassim Majaliwa akiwapa pole wanawake na watoto wakati 
alipotembelea makazi ya dharura  waliyojengewa na serikali katika kijiji
 cha Kasanga  wanapohifadhiwa waathirika wa mafuriko yaliyozikumba 
tarafa za Pawaga na Idodi , Iringa Februari 22, 2016.Kushoto ni Mbunge 
wa Ismani na Wairi w Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William 
Lukuvi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
Waziri
 Mkuu  Kassim Majaliwa akiwapa pole wanawake na watoto wakati 
alipotembelea makazi ya dharura  waliyojengewa na serikali katika kijiji
 cha Kasanga  wanapohifadhiwa waathirika wa mafuriko yaliyozikumba 
tarafa za Pawaga na Idodi , Iringa Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya
 Waziri Mkuu) 
Waziri
 Mkuu  Kassim Majaliwa akiwapa pole wanawake na watoto wakati 
alipotembelea makazi ya dharura  waliyojengewa na serikali katika kijiji
 cha Kasanga  wanapohifadhiwa waathirika wa mafuriko yaliyozikumba 
tarafa za Pawaga na Idodi , Iringa Februari 22, 2016. (Picha na Ofisi ya
 Waziri Mkuu) 
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa  akipokea taarifa ya msaada  kutoka kwa meneja 
uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mangele katika mkutano wa 
kuwapa pole wananchi wa tarafa za Pawaga na Idodi uliohutubiwa na Waziri
 Mkuu katika Kijiji cha Kasanga, Iringa Februari 22, 2016. Mfuko huo 
umetoa mabati 200 na saruji mifuko 200 vyote vikiwa na thamani ya sh. 
6,600,000/=.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi
 ya watoto wanaoishi katika makazi ya dharura kwenye kijiji cha Kasanga 
wanapohifadhiwa  waathirika wa mafuriko yaliyozikumba tarafa za Idodi na
 Pawaga, Iringa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati 
alipotembelea kijiji hicho kuwapa pole wananchi Februari 22, 2016. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni